• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • SP FINAL DRAFT
      • Mazingira na Usafishaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Wilaya Awataka Watoa Huduma Watekeleze Wajibu Wao kwa Weledi

Posted on: August 4th, 2020

MKUU WA WILAYA YA KIBAHA  AWATAKA WATOA HUDUMA WATEKELEZE WAJIBU WAO KWA WELEDI.

Mkuu wa wilaya ya Kibaha Mhe. Martin Mtemo  amewataka watumishi waliopangwa kwenye Hospitali  mpya ya Wilaya kuwahudumia wananchi  kwa weledi na kutokuruhusu  malalamiko ya aina yoyote kutoka kwa  wagonjwa  na kuepuka  vitendo vya rushwa .

Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo  alipokuwa akizindua hospitali ya halmashauri ya wilaya ya Kibaha iliyojengwa Disunyara Mlandizi kwa gharama ya 1.7bilioni ikiwa na majengo 7.

Pamoja na hayo Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya kibaha Butamo Ndalahwa amesema wanaendelea kushirikiana na DAWASA ili  kuhakikisha hospital hiyo inapata maji pamoja na changamoto ya kuwa line ya maji waliyounganishwa nayo ina watumiaji wengi sana hivyo wanashirikiana na dawasa ili waweze kubadilishiwa line nyingine ili kuhakikisha hospital inapata maji masaa 24

Butamo amemuomba Mkuu wa Wilaya kuwasaidia kuongea na Sumatra ili ipatikaneroute ya daladala ya kwenda hospitali ya Wilaya ili kupunguza gharama za usafiri kwa wagonjwa watakaoenda kupata huduma kwenye hospitali hiyo .

Mganga mfawadhi wa hospitali hiyo amesema pamoja na hospitali hiyo kufunguliwa bado kuna changamoto ya dawa na vifaa tiba pamoja na makazi ya watumishi.

Wananchi waliofika kupata huduma kwenye Hospitali hiyo wameishukuru serikali  ya awamu ya tano kwa kuwaletea hospitali ya wilaya kwani walikuwa wanahangaika sana kufuata huduma Tumbi pale mgonjwa anapopewa rufaa kutoka kituo cha afya Mlandizi.

Matangazo

  • Wadaiwa wa Viwanja kibaha June 15, 2020
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI WA KAZI ZA UJENZI KWA MATUMIZI YA NJIA YA "FORCE ACCOUNT" January 05, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Sita Shule za Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha July 11, 2019
  • Kuhamia Mji Mdogo wa Mlandizi October 31, 2019
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • Makala Atoa Wito kwa Kaya Maskini Kuibua Miradi ya Miundombinu

    April 19, 2021
  • Wananchi Wa Soga na Boko Mnemela Waipongeza Serikali kwa Kuwasogezea HUduma za Afya Karibu na Makazi

    April 09, 2021
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Imetekeleza Agizo la kisheria la Kutoa Asilimia kumi ya Mapato ya Ndani kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana na watu Wenyenye Ulemavu

    February 11, 2021
  • Bajeti ya 2021/22yapitishwa kwa Kishindo na Baraza la Madiwani Kibaha

    January 22, 2021
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.