• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • SP FINAL DRAFT
      • Mazingira na Usafishaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

Majukumu ya Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

  • Kudhibiti  visumbufu vya mazao na mimea.
  • Kukusanya takwimu za bei za mazao ya chakula na biashara kila wiki na kila mwezi.
  • Kukusanya takwimu za upatikanaji wa mazao katika masoko wiki/mwezi.
  • Kuendesha mafunzo ya wataalamu wa kilimo.
  • Kutoa habari juu ya teknolojia mpya kwa wadau mf.mbegu mpya, n.k.
  • Kuandaa/kuandika taarifa za utekelezaji kwa sekta ndogo ya mazao.
  • Kusimamia/kuendeleza taaluma ya uzalishaji mboga, matunda, maua na mazao kusimamia/kuendeleza uzalishaji wa mbegu  na miche bora.
  • Kuandaa, kutayarisha kufunga na kusambaza mbegu/miche bora.
  • Kufanya ukaguzi wa mbegu mpya kwa kushirikiana na watafiti wa mbegu kabla ya kupitishwa.
  • Kuendesha mafunzo ya kuzalisha mboga, matunda, maua na viungo.
  • Kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya bustani.
  • Kufanya utafiti mdogo wa mazao yanayofaa kulimwa katika wilaya.
  • Kufanya utafiti wa udongo.
  • Kuhamasisha uanzishaji wa vikundi vya wakulima /wamwagiliaji.
  • Kuzalisha mbegu za msingi baada ya kuzalishwa na watafiti.
  • Kuendesha mafunzo ya wasambazaji wa pembejeo na kusimamia usambazaji wa pembejeo.
  • Kuandaa mipango na bajeti za sekta ya mazao ngazi ya halmashauri.
  • Kusaidia  kusanifu miradi ya umwagiliaji.
  • Kusaidia kusimamia ujenzi wa miradi mikubwa ya umwagiliaji.
  • Kusimamia ujenzi wa maghala ya kuhifadhia mazao.
  • Kusaidia kuweka takwimu sahihi za mazingira katika maeneo ya umwagiliaji.
  • Kuandaa/kuratibu sheria za ubora wa zana.
  • Kuhamasisha/kuendeleza kilimo cha maghala bora.
  • Kutunza na kuweka takwimu za hali ya zana katika halmashauri.
  • Kuwashauri wakulima juu ya majengo bora kwa ajili ya ufugaji  na  kuhifadhi mazao.
  • Kuratibu watengenezaji na waagizaji wa zana za kilimo.
  • Kuratibu na kutathmini programu za kuendeleza kilimo cha wanyamakazi,matrekta na mashine.
  • Kuainisha  maeneo yanayofaa kwa kilimo cha umwagiliaji.
  • Kuwafundisha wakulima juu ya kuendesha skim za umwagiliaji.
  • Kuwafundisha wakulima matumizi ya wanyamakazi na matrekta.
  • Kuwatambua watengenezaji zana katika eneo husika kwa ajili ya kuwawezesha.
  • Kufanya ukaguzi wa vyama vya ushirika.
  • Kuhamasisha na kusimamia uanzishwaji wa vyama vya ushirika vya michepuo mbalimbali.
  • Kukusanya na kuchambua takwimu mbalimbali za maendeleo ya ushirika.
  • Kuhifadhi na kuchapisha takwimu mbalimbali za maendeleo ya ushirika.
  • Kufanya uchambuzi wa maombi ya kuandikishwa chama cha ushirika na kutoa mapendekezo yanayostahili.
  • Kufanya uchambuzi wa makisio ya mapato na matumizi ya vyama vya ushirika na kutoa mapendekezo.

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa La Saba 2022 December 02, 2022
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili June 28, 2022
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA KIBAHA DC TAREHE 29-07-2022 July 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi May 27, 2022
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • KUELEKEA MAADHIMISHO YA MAIKA 61 YA UHURU WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA WAMEOTESHA MITI KWENYE JENGO LA OFISI ZA HALMASHAURI

    December 07, 2022
  • WAZEE WA HALMSHAURI YA WILAYA YA KIBAHA WAMEISHUKURU SERIKALI KWA KUBORESHA HUDUMA ZA KIJAMII

    December 06, 2022
  • KUELEKEA KILELE CHA MIAKA 61 YA UHURU MKURUGENZI MTENDAJI PAMOJA NA MENEJIMENTI WAMESHIRIKI KUFANYA USAFI NA KUTOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA

    December 06, 2022
  • NMB kanda ya Dar es salaama wamekabidhi Komputa Mbili kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

    November 03, 2022
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.