• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • SP FINAL DRAFT
      • Mazingira na Usafishaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Yajipanga Kubana Mianya ya Upotevu Wa Fedha za Ushuru Na Makusanyo ili Kuendelea Kubaki Kileleni

Posted on: August 18th, 2022

Halmshauri  ya wilaya ya Kibaha, Mkoani Pwani imejipanga kuimarisha makusanyo ya ushuru wa mauzo ya viwanja na kudhibiti mianya ya upotevu wa fedha kwenye vyanzo mbalimbali.

Aidha ,imejipanga kuwachukulia hatua za kisheria wale watakaobainika kusababisha upotevu wa fedha na kukwepa kulipa ushuru.

Akielezea mkakati huo ,wakati wa Baraza la madiwani ,Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha ,Arasto Mpangala Makala ameeleza, kipindi cha nyuma hawakufanya vizuri Ila wanashukuru kwa ushirikiano,ufuatiliaji na usimamizi mzuri wa mapato umesaidia Halmashauri sasa imekuwa ya kwanza Kitaifa kwa kukusanya asilimia 247 ya makisio yake ya mwaka.

Makala amefafanua hadi kufikia June 30 mwaka huu walikusanya Bilioni 28.6 sawa na asilimia 68 ya lengo kati ya fedha hizo walikuwa na Bilioni 3.8 ambazo ni mapato ya ndani ya vyanzo vya masharti na visivyo vya masharti.

Nae Mbunge wa Viti Maalum Mkoani Pwani,Hawa Mchafu ameitaka Halmashauri hiyo kusimamia miradi ya maendeleo na kuhakikisha inamalizika kwa wakati .

Akichangia hoja, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo ,Josephina Gunda alielezea kwamba ,chanzo Cha stendi ,mkaa,minada na mchanga haikufanya vizuri ,kwasasa wamejielekeza kufanya ufuatiliaji na kubadilisha mfumo wa ukataji ushuru kwa kuwabana wakata ushuru ambao sio waaminifu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 16, 2023
  • VITUO VYA KUFANYIA USAILI KUANZIA TAREHE 21.09.2023 September 18, 2023
  • Kuitwa Kazini October 02, 2023
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2023
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Yavuka Malengo ya Ukusanyaji mapato

    November 23, 2023
  • Wadau wa Elimu Kata ya Mtongani Wamekutana kujadili Namna ya Kuboresha Elimu ya Watu Wazima

    October 17, 2023
  • Rc Kunenge Atatua Mgogoro wa Ardhi Kikongo

    October 30, 2023
  • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira Wamefanya Ziara ya Kukagua Miradi ya Maendeleo Iliyotekelezwa kwa Robo ya Kwanza 2023/2024

    November 01, 2023
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.