• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • SP FINAL DRAFT
      • Mazingira na Usafishaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ndikilo Akabidhi Pikipiki kwa Maafisa Tarafa wote wa Mkoa Pwani

Posted on: August 19th, 2019

Serikali Mkoani Pwani imewaagiza maafisa tarafa wote kutimiza majukumu yao bila uzembe na badala yake wahakikishe wanashughulikia migogoro ya ardhi ambayo inawakabili kwa kiasi kikubwa jamii ya wafugaji na wakulima kwani inapelekea kuwepo kwa uvunjifu wa amani na baadhi ya wananchi.


Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa halfa ya kukabidhi Pikipiki 28 zenye thamani ya shilingi 148,176,000.00 ambapo Pikipiki 27 zimekabidhiwa kwa Maafisa Tarafa  wa tarafa zote za mkoa pwani na Pikipiki moja  imebaki kwa ajili ya Matumizi  ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

 

Aidha Ndikilo amewataka maafisa hao tarafa kuweka mikakati madhubuti katika utekelezaji wa majukumu yao hususan katika ufuatiliaji wa miradi mbali mbali ya maendeleo ili kuwaletea maendeleo chanya wananchi.

“Katika Mkoa wa Pwani katika baadhi ya maeneo kumekuwepo na changamoto kubwa ya migogoro ya ardhi kwa hivyo ili suala inatakiwa maafisa tarafa kuifuatilia wenyewe na kuimalizi sio mpaka viongozi wa ngazi za juu waende kuitafutia ufumbuzi hivo ninawaomba katika hili tujitahidi kwa hali na mali ili kuondokana na hali hii ikiwemo suala la mimba kwa wanafunzi na utoro yote myafanyie kazi,” alisema Ndikilo.


Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani Theresia Mmbando amebainisha kuwa hapo awali maafisa tarafa walikuwa wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kutokuwa na usafiri wa uhakika hivyo kushindwa kutimiza majukumu yao kwa wakati katika kuwaatumikia wananchi katika suala zima la kuleta maendeleo.


Nao baadhi ya maafisa tarafa ambao wamenufaika na kupatiwa Pikipiki hizo wamesema kwamba zitaweza kuwasaidia kwa kiasi kikubwa katika kufiuatilia na kusuluhisha kwa urahisi changamoto mbali mbali zinazowakabili wananchi kwani hapo awali walikuwa wanafanya kazi katika mazingira magumu kutokana na kutokuwa na usafiri wa uhakika.

Matangazo

  • Tangazo Maalum kwa waajiriwa Wapya kada za Afya na Elimu July 05, 2021
  • Tangazo la Uuzaji wa Viwanja Lupunga June 22, 2021
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI WA KAZI ZA UJENZI KWA MATUMIZI YA NJIA YA "FORCE ACCOUNT" January 05, 2021
  • Wafanyabiashara ya mazao ya chakula September 14, 2018
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • MAKALA MAALUM YA SIKU 365 ZA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    March 19, 2022
  • WAFUGAJI WASIMAMIWE SOKO LA BIDHAA ZA MIFUGO ILI KUWAONGEZEA KIPATO

    May 13, 2022
  • Viongozi Watakiwa Kusimamia Miradi ya Maendeleo kwa Weledi

    May 08, 2022
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha imekabidhi Madarasa 30 kwa Mkuu wa Willaya ya Kibaha

    January 14, 2022
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.