• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • SP FINAL DRAFT
      • Mazingira na Usafishaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wananchi Wachangamkia Fursa Ujenzi wa Ofisi

Posted on: March 20th, 2018

Mkurugenzi mtendaji wa H/W ya Kibaha Bi. Tatu Selemani, amefurahishwa na kitendo cha wananchi wa Mlandizi kushirikishwa katika ujenzi wa jengo la kisasa la ofisi za H/W ya Kibaha unaoendelea hivi sasa katika eneo la Kisabi. 

"Kwa hakika wananchi wamenifurahisha sana kwa kuchangamkia fursa hii" alisema.

Hii ni baada ya kutembelea katika eneo la ujenzi na kushuhudia wananchi wakishiriki vyema katika ujenzi huo, Hata hivyo alisisitiza wananchi wote wanaoshirikishwa kuwa waaminifu na walinzi wa vifaa vya ujenzi ili kuwawezesha wakandarasi (SUMA JKT) kufanya kazi yao kwa ufanisi.

Aidha ujenzi huu utagharimu zaidi billioni 2.7 hadi kukamilika kwake , hata hivyo serikali tayari imetoa kiasi cha millioni 900 na itaendelea kuleta kiasi kilichobakia hadi jengo hilo  litakapokamilika.

Wananchi watarajie huduma bora zaidi baada ya jengo la ofisi kukamilika kwani sasa huduma zitasogea karibu zaidi ukilinganisha na sasa ambapo wanasafiri hadi mjini  Kibaha kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali. 


Matangazo

  • Tangazo Maalum kwa waajiriwa Wapya kada za Afya na Elimu July 05, 2021
  • Tangazo la Uuzaji wa Viwanja Lupunga June 22, 2021
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI WA KAZI ZA UJENZI KWA MATUMIZI YA NJIA YA "FORCE ACCOUNT" January 05, 2021
  • Wafanyabiashara ya mazao ya chakula September 14, 2018
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • MAKALA MAALUM YA SIKU 365 ZA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    March 19, 2022
  • WAFUGAJI WASIMAMIWE SOKO LA BIDHAA ZA MIFUGO ILI KUWAONGEZEA KIPATO

    May 13, 2022
  • Viongozi Watakiwa Kusimamia Miradi ya Maendeleo kwa Weledi

    May 08, 2022
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha imekabidhi Madarasa 30 kwa Mkuu wa Willaya ya Kibaha

    January 14, 2022
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.